Watu sita wa familia moja waangamia kwenye ajali Webuye
Автор: Citizen TV Kenya
Загружено: 2026-03-10
Просмотров: 8036
Описание: Familia moja iliwapoteza watu sita kwenye ajali ya jana usiku, iliyotokea katika eneo la Malaha kwenye barabara ya Webuye - Kitale. Familia ya Ezekiel Sipala ilihusika kwenye ajali walipokuwa wameenda kushuhudia ajali nyingine ambapo pikipiki ziligongana barabarani
Повторяем попытку...
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео
-
Информация по загрузке: