RAIS SAMIA AGUSWA NA KIFO CHA RAIS WA ZAMANI WA (UAE), ATUMA SALAMU ZA RAMBIRAMBI..
Автор: Global TV Online
Загружено: 2022-05-13
Просмотров: 3156
Описание:
RAIS SAMIA AGUSWA NA KIFO CHA RAIS WA ZAMANI WA (UAE), ATUMA SALAMU ZA RAMBIRAMBI..
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suuhu Hassan ametuma salamu za rambirambi kwa Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) kufuatia kifo cha aliyekuwa rais wa falme hizo Khalifa Bin Zayed Al Nahyan.
Rais Samia amendika ujumbe kupitia ukurasa wake wa mtandao wa kijamii wa Instagram uliosomeka:
“Ni kwa masikitiko makubwa tumepokea taarifa za kifo cha Sheikh Khalifa bin Zayed Al Nahyan, Rais wa Umoja wa Falme za Kiarabu na kiongozi wa Abu Dhabi, Tafadhari Sheikh @MohamedBinZayed, Familia ya kifalme na watu wa Umoja wa Falme za Kiarabu pokeeni salamu zetu za rambirambi. Alikuwa kiongozi mzuri!”
Taarifa za kifo cha Bin Zayed zimeibuka leo ambapo chanzo cha kifo chake ni maradhi ya muda mrefu ya kupooza aliyoyapata tangu mwaka 2014 yaliyomfanya awe mbali na macho ya watu, amefariki akiwa na umri wa miaka 73.
Sambamba na salamu za rambirambi kutoka kwa Rais Samia mataifa mengine pia yametuma salamu za rambirambi yakiongozwa na mataifa ya Misri, Bahrain pamoja na Iraq.
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: http://ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:http://bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:https://apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)
⚫️ Email: [email protected] OR [email protected]
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo na Burudani Tanzania!
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: http://bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: http://bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: http://bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV http://bit.ly/globaltvonline
Повторяем попытку...
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео
-
Информация по загрузке: