Mfugaji asiewalisha Kabisa !! NYASI Ng'ombe Wake - Anauza maziwa ya Laki 2 Kila siku.
Автор: Rubaba Tv
Загружено: 2022-12-04
Просмотров: 46395
Описание:
Inafahamika kwamba Asilimia 60 ya gharama zote za ufugaji hutokana na chakula, lakini pia asilimia 60% ya matokeo katika ufugaji wako usababishwa na chakula. Hii inaonesha kwamba endapo mfugaji akiwalisha vizuri mifugo wake kunauwezekano mkubwa sana wa kupata matokeo mazuri katika ufugaji wako. Lakini vivo hivyo unatakiwa kufahamu kwamba endapo ukiweza kucontrol gharama za ulishaji wako basi kwa kiasi kikubwa sana utaweza kupunguza gharama za ufugaji kwa ujumla.
Nipo na mzee sharif Saidi alimaarufu kama kwezi, Ambaye yeye ni mmoja wa wafugaji wa kubwa wa ngombe wa maziwa hapa Mwanza. Kuna kitu kikubwa sana cha kujifunza kwakwe kwani yeye kwa kiasi kikubwa ameweza kupunguza gharama za ulishaji lakini pia kuongeza ufanisi katika ufugaji wake. Na cha kushangaza ni kwamba tangia aanze kufuga yeye ajawahi kuwalisha nyasi ng’ombe wake. Je anawalisha nini na amewezaji kupunguza gharama za ufugaji huyu hapa tumsikile mwenyewe.
CONTACT US
EMAIL: [email protected]
PHONE: +255(0) 764148221
SUBSCRIBE KUJIFUNZA MENGI ZAIDI
Повторяем попытку...
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео
-
Информация по загрузке: