ycliper

Популярное

Музыка Кино и Анимация Автомобили Животные Спорт Путешествия Игры Юмор

Интересные видео

2025 Сериалы Трейлеры Новости Как сделать Видеоуроки Diy своими руками

Топ запросов

смотреть а4 schoolboy runaway турецкий сериал смотреть мультфильмы эдисон
Скачать

Mtiti Tena Bungeni... John Mnyika Afurumushwa Nje ya Bunge na Askari

Автор: Global TV Online

Загружено: 2017-06-02

Просмотров: 586640

Описание: Breaking News: Kimenuka Bungeni, Mnyika Atolewa Nje na Askari, Upinzani Wasusia Bunge
SUBSCRIBE NOW:    / uwazi1  
WEBSITE: https://globalpublishers.co.tz/
FACEBOOK:   / globalpublishers  
TWITTER:   / globalhabari  
INSTAGRAM:   / globalpublishers  
DODOMA: Mbunge wa Jimbo la Kibamba, John Mnyika leo alisababisha kuzaazaa Bungeni Dodoma baada ya kugoma kutoka nje ya Bunge alipoamuriwa na Spika Job Ndugai kutokana na kile kilichodaiwa kukataa kuketi kama alivyoamuriwa na kiongozi huyo wakati mijadala ikiendelea.


Chokochoko hizo ziliibuka baada ya Mbunge wa Mvumi, Livingstone Lusinde kudai kwamba wapinzani bungeni humo wanatetea wezi wa mchanga wa dhahabu.

SUBSCRIBE NOW:    / uwazi1  
WEBSITE: https://globalpublishers.co.tz/
FACEBOOK:   / globalpublishers  
TWITTER:   / globalhabari  
INSTAGRAM:   / globalpublishers  
Mnyika ilibidi asimame na kutoa mwongozo kwa kusema wao wapinzani sio wezi isipokuwa walichokuwa wakikisema ni kulalamikia mikataba mibovu ya madini ambayo imeingiwa na serikali na kusababisha kufikia hapa tulipo.

SUBSCRIBE NOW:    / uwazi1  
WEBSITE: https://globalpublishers.co.tz/
FACEBOOK:   / globalpublishers  
TWITTER:   / globalhabari  
INSTAGRAM:   / globalpublishers  
Wakati Mnyika akiendelea kumpa taarifa Lusinde, mbunge ambaye hajajulikana jina alisikika akisema kwa sauti ‘mwizi’, hali iliyomfanya Mnyika kumuomba spika amjuwe aliyemuita mwizi, hata hivyo, Spika Ndugai akawa anamsisitizia akae chini.
SUBSCRIBE NOW:    / uwazi1  
WEBSITE: https://globalpublishers.co.tz/
FACEBOOK:   / globalpublishers  
TWITTER:   / globalhabari  
INSTAGRAM:   / globalpublishers  
Alimuomba kukaa chini mara tatu lakini Mnyika hakutii ndipo Ndugai alipomuamuru atoke nje lakini pia hakutoka, hivyo akawaita askari wa bunge aliowaamuru waingie ndani na kumtoa nje kwa nguvu mbunge huyo kijana.

Kuona hivyo Mbunge wa Kawe, Halima Mdee na yule wa Bunda, Ester Bulaya, waliingilia kati kuwazuia askari wa bunge kumtoa nje Mnyika, hali iliyoleta tafrani, hata hivyo, alitolewa na kwenye lango la kuingilia bungeni, alisukumwa na ‘kutupwa’ nje ya mjengo.

Spika alitangaza kumsimamisha kuingie bungeni Mnyika kwa wiki moja na Bulaya na Mdee alisema wataandikiwa barua ili wakahojiwe na Kamati ya Haki na Maadili ya Bunge.
SUBSCRIBE NOW:    / uwazi1  
WEBSITE: https://globalpublishers.co.tz/
FACEBOOK:   / globalpublishers  
TWITTER:   / globalhabari  
INSTAGRAM:   / globalpublishers  

Не удается загрузить Youtube-плеер. Проверьте блокировку Youtube в вашей сети.
Повторяем попытку...
Mtiti Tena Bungeni... John Mnyika Afurumushwa Nje ya Bunge na Askari

Поделиться в:

Доступные форматы для скачивания:

Скачать видео

  • Информация по загрузке:

Скачать аудио

Похожие видео

MSIGWA:

MSIGWA: "Simpongezi MAGUFULI, Serikali Haina Adabu, Pesa Hakuna"

Lema, Mnyika Waliamsha Tena Dude Bungeni

Lema, Mnyika Waliamsha Tena Dude Bungeni

🔴TAARIFA YA HABARI YA DISEMBA 25, 2025 - WALIOFARIKI KATIKA AJALI YA HELKOPTA KUSAFIRISHWA.

🔴TAARIFA YA HABARI YA DISEMBA 25, 2025 - WALIOFARIKI KATIKA AJALI YA HELKOPTA KUSAFIRISHWA.

BUNGENI: MBOWE VS MAJALIWA KUHUSU SHAMBULIO LA LISSU

BUNGENI: MBOWE VS MAJALIWA KUHUSU SHAMBULIO LA LISSU

"Tukiwasema mnatupeleka Polisi lakini Rais akitukashifu…”-John Heche

Mabishano ya Zitto na Chenge juu ya matangazo ya TBC bungeni

Mabishano ya Zitto na Chenge juu ya matangazo ya TBC bungeni

Hotuba ya uzinduzi wa Bunge la 11 dodoma Nov 20,2015

Hotuba ya uzinduzi wa Bunge la 11 dodoma Nov 20,2015

Ni Tundu Lissu na Joseph Mbilinyi tena Bungeni leo May 5 2017

Ni Tundu Lissu na Joseph Mbilinyi tena Bungeni leo May 5 2017

Sikiliza Hekima na Busara za Riziki Shahari na Zitto Kabwe Bungeni

Sikiliza Hekima na Busara za Riziki Shahari na Zitto Kabwe Bungeni

Halima Mdee Avuruga Tena Bunge

Halima Mdee Avuruga Tena Bunge "Eti Rais Wetu Ndio Magufuli"

VIDEO: MADIWANI WILAYA YA UKEREWE WAMEKULA VIAPO KWA UTIIFU ULIO TUKUKA.

VIDEO: MADIWANI WILAYA YA UKEREWE WAMEKULA VIAPO KWA UTIIFU ULIO TUKUKA.

Shangwe SUGU alivyochana mbele ya Waziri Mkuu, Wabunge wampa hela, Prof. J adata

Shangwe SUGU alivyochana mbele ya Waziri Mkuu, Wabunge wampa hela, Prof. J adata

WAITARA ASUSIA KIKAO CHA BUNGE, AANGUA KILIO, ADAI TARIME WAMEMJUA ADUI YAO.

WAITARA ASUSIA KIKAO CHA BUNGE, AANGUA KILIO, ADAI TARIME WAMEMJUA ADUI YAO.

Kauli kali za SPIKA mwanzo mwisho

Kauli kali za SPIKA mwanzo mwisho "Mama hatabiriki" || Pambana na kitu kingine sio Ndugai

Godbless Lema VS Waziri Simbachawene bungeni leo

Godbless Lema VS Waziri Simbachawene bungeni leo

Mh Tundu Lissu Atoa Mwongozo Matata Bungeni

Mh Tundu Lissu Atoa Mwongozo Matata Bungeni

HII HAPA HISTORIA YA JOHN MNYIKA KISIASA, USHAWISHI WAKE KUANZIA SHULENI, UPADRE HADI KUWA MBUNGE

HII HAPA HISTORIA YA JOHN MNYIKA KISIASA, USHAWISHI WAKE KUANZIA SHULENI, UPADRE HADI KUWA MBUNGE

MBUNGE LIVINGSTONE LUSINDE

MBUNGE LIVINGSTONE LUSINDE "NAWASHAURI KUAGA BUNGENI KAMA MAJI YAMEZIDI"

OLE SENDEKA AIBUA TAFRANI BUNGENI, ISHU YA WAMASAI KUONDOLEWA, TULIA AMVAA!

OLE SENDEKA AIBUA TAFRANI BUNGENI, ISHU YA WAMASAI KUONDOLEWA, TULIA AMVAA!

Mbunge atolewe BUNGENI agoma kuomba radhi Sakata la MAVAZI yasiyo na Heshima.

Mbunge atolewe BUNGENI agoma kuomba radhi Sakata la MAVAZI yasiyo na Heshima.

© 2025 ycliper. Все права защищены.



  • Контакты
  • О нас
  • Политика конфиденциальности



Контакты для правообладателей: [email protected]