Ilhan Omar apongezwa na jamii ya Wasomali Marekani
Автор: VOA Swahili
Загружено: 2019-01-07
Просмотров: 15366
Описание:
Jamii ya wasomali wanaoishi Marekani bado wanaendelea kusherehekea kuapishwa kwa mwanamke wa kwanza muumini wa dini ya kiislamu na mhamiaji kutoka Somalia kuwaapishwa kuwa mbunge wa Marekani.
Originally published at - https://www.voaswahili.com/a/4732212....
Повторяем попытку...
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео
-
Информация по загрузке: