Kenya Yazua Gumzo: Bahati Avamiwa Baada ya Kuweka Screenshot za Shalkido!
Автор: MIZUKA MEDIA
Загружено: 2025-10-08
Просмотров: 3587
Описание:
Bahati ameingia kwenye mzozo mkubwa mitandaoni baada ya kushare screenshot za mazungumzo yake na Shalkido siku chache kabla ya kifo chake. Wakenya na Watanzania wamechemka, wakimuuliza swali moja kuu: Je, Bahati ametumia kifo cha Shalkido kwa clout chasing?
Katika video hii tunakuletea sauti za wananchi – kutoka mashabiki wa Kenya na Tanzania hadi Wakenya walioko diaspora. Wengi wamesema wazi kwamba kifo hakifai kutumiwa kama chombo cha kutafuta kiki, huku wengine wakimtetea Bahati wakisema alikuwa akionyesha heshima na ukaribu wake na Shalkido.
Tazama uchambuzi mzima hapa Mizuka Media, kisha tuambie maoni yako: Unadhani Bahati alikosea au alionyesha tu urafiki wake wa kweli?
👉🏽 Usisahau kusubscribe kwa habari zaidi za burudani, muziki wa Kenya na Tanzania, siasa na lifestyle kila siku.
#Bahati #Shalkido #Kenya #Tanzania #MizukaMedia #Burudani
Повторяем попытку...
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео
-
Информация по загрузке: