TEKNOLOJIA YA KISASA KUWAVUTA VIJANA KWENYE KILIMO
Автор: RUVUMA RS
Загружено: 2026-03-09
Просмотров: 53
Описание:
Katibu Tawala wa Mkoa wa Ruvuma, Wakili Mary Gasper Makondo, amefungua mafunzo ya kozi za zana za kilimo na kilimo cha umwagiliaji katika Chuo cha Ufundi VETA Songea, ambapo amesema mafunzo hayo ni sehemu ya juhudi za serikali kuimarisha sekta ya kilimo kama nguzo kuu ya uchumi.
Amesema matumizi ya zana bora za kilimo ni njia muhimu ya kuwahamasisha vijana kushiriki katika shughuli za kilimo akisisitiza kuwa kilimo ni ajira kubwa, kwani zaidi ya asilimia 70 ya wananchi wa wanajishughulisha na kilimo.
Ameongeza kuwa mafunzo hayo yataleta mapinduzi makubwa katika kilimo kwa kuongeza ubunifu, ujuzi na mtazamo chanya wa wananchi katika uzalishaji. Ikiwa lengo kuu ni kumtoa kijana katika jembe la mkono na kumuwezesha kutumia teknolojia ya kisasa.
Повторяем попытку...
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео
-
Информация по загрузке: