Kaya 23 zafungasha NGORONGORO wabomoa nyumba kwa hiari, waelekea MSOMERA
Автор: Mwananchi Digital
Загружено: 2022-06-15
Просмотров: 5776
Описание:
Baada ya serikali kupitia Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro kukamilisha maandalizi yote ya msingi katika makazi mapya ya wakazi wenyeji wanaoishi ndani ya Hifadhi ya Ngorongoro,wakazi hao kwa hiari yao wenyewe wameanza rasmi kufungasha mizigo yao tayari kwa kuelekea kijiji cha Msomera kilichopo wilayani Handeni mkoani Tanga,
Kwa pamoja wakazi hao wameishukuru serikali kwa kuwapa fidia na usafiri wa mali zao ikiwemo mifugo ,huku wakionekana kuwa na tumaini jipya la maisha mapya huko msomera. Aidha Mkuu wa mkoa wa arusha John Mongela amesema zoezi hilo kwa awamu ya kwanza litahusisha jumla ya kaya 23.
Повторяем попытку...
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео
-
Информация по загрузке: