Mwanafunzi aaga shuleni Machakos
Автор: Citizen TV Kenya
Загружено: 2026-02-23
Просмотров: 8464
Описание: Polisi kaunti ya Machakos wameanzisha uchunguzi wa kifo cha ghafla cha mwanafunzi wa kidato cha tatu katika shule ya upili ya Katoloni. Mwanafunzi huyo Consolata Ndiku anaripotiwa kuugua akiwa shule na kukimbizwa hospitalini alikoripotiwa kufariki alipofikishwa. Familia sasa ikisema ina maswali kuhusu chanzo cha kifo cha binti waliyemtaja kuwa kwenye hali njema ya kiafya.
Повторяем попытку...
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео
-
Информация по загрузке: