ycliper

Популярное

Музыка Кино и Анимация Автомобили Животные Спорт Путешествия Игры Юмор

Интересные видео

2025 Сериалы Трейлеры Новости Как сделать Видеоуроки Diy своими руками

Топ запросов

смотреть а4 schoolboy runaway турецкий сериал смотреть мультфильмы эдисон
Скачать

MADIWANI SIMAMIENI MIRADI YA MAENDELEO, UKUSANYAJI MAPATO YA NDANI.

Автор: MASASI ONE ONLINE TV

Загружено: 2026-02-05

Просмотров: 88

Описание: BARAZA la Madiwani la Halmahauri ya Wilaya ya Masasi mkoani Mtwara hii leo Febuari nne 2026 limeketi kwa ajili ya kujadili na kupitia taarifa za utekelezaji wa shughuli za maendeleo kwa robo ya pili ya mwaka 2025/2026 ikiwa ni sehemu ya wajibu wake kisheria kusimamia rasilimali za umma na utekelezaji wa miradi ya maeneleo katika Halmashauri hiyo.
Kupitia kikao hicho taarifa za kamati za kudumu za Halmahauri ziliwasilishwa na kujadiliwa kwa kina na Madiwani, huku madiwani wakitoa maoni, ushauri, kuuliza maswali na kutoa mapendekezo kwa lengo la kusimamia na kuimarisha utekelezaji wa miradi ya maendeleo katika Halmashauri yao inayotekelezwa ndani ya kata zote 34 za Halmashauri ya wilaya ya Masasi,
Akifungua kikao hicho, mwenyekiti wa Halmashauri hiyo, Bashiru Mboneche ambaye pia ni diwani kata ya Ndanda wamewasisitiza madiwani hao kuongeza juhudi na maarifa katika kusimamia miradi ya maendeleo kwenye maeneo yao sambamba na kushirikiana na wataalumu wa Halmashauri ili miradi yote inayotekeza na Halmashauri iweze kukamilika na kuleta tija kwa wananchi. Na hapa anaeleza .
Kwa upande wake,Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo,Optatus Lusolela ambaye pia ni mkuu wa Idara ya Utawala na Usimamizi wa Rasilimali watu Halamshauri ya wilaya ya Masasi amesema kuwa Halmashauri itaendelea kushirikiana kwa karibu na madiwani katika utekelezaji wa mipango ya Halmshauri ili kufanikisha utoaji huduma bora kwa wananchi wa Halmashauri hiyo.
Nao Madiwani wa Halmashauri hiyo hawakusita kutoa ushauri wao juu ya utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo ikiwemo afya, elimu, maji na miundombinu ya barabara.
Mweneyekiti wa Mapinduzi (CCM) wilaya ya Masasi, Mariam Kasembe ametoa msisitizo kwa watendaji wa halmashauri kusoma ilani ya chama cha mapinduzi na kuitekeleza kwa vitendo na kuwataka madiwani kusimamia mapato ya halmahauri ili halmahauri iweze kuetekeleza malengo iliyojiwekea.

Не удается загрузить Youtube-плеер. Проверьте блокировку Youtube в вашей сети.
Повторяем попытку...
MADIWANI SIMAMIENI MIRADI YA MAENDELEO, UKUSANYAJI MAPATO YA NDANI.

Поделиться в:

Доступные форматы для скачивания:

Скачать видео

  • Информация по загрузке:

Скачать аудио

Похожие видео

TARURA MASASI YAELEZA VIPAUMBELE VYAKE UBORESHAJI BARABARA MASASI

TARURA MASASI YAELEZA VIPAUMBELE VYAKE UBORESHAJI BARABARA MASASI

MWENYEKITI MAMCU,USHIRIKA UTAENDELEA KUWA IMARA NDANI YA UONGOZI WANGU

MWENYEKITI MAMCU,USHIRIKA UTAENDELEA KUWA IMARA NDANI YA UONGOZI WANGU

Westv Jioni 7th February 2026 na Nickson Simiyu

Westv Jioni 7th February 2026 na Nickson Simiyu

KHAMENEI AMEMWAMBIA TRUMP UKWELI!

KHAMENEI AMEMWAMBIA TRUMP UKWELI! "MAJESHI YAKO NI YA KIGAIDI" UCHAFU WA USA NA ISRAEL UMEFICHUKA

🔴#LIVE Masasi: ANAPOISHI MAMA WA 'MBONA HAONGEI, UKOROFI' AFUNGUKA WANAE KUMTENGA Kisa CLIP YAKE...

🔴#LIVE Masasi: ANAPOISHI MAMA WA 'MBONA HAONGEI, UKOROFI' AFUNGUKA WANAE KUMTENGA Kisa CLIP YAKE...

NHIF MASASI YAENDELEA KUTOA ELIMU YA BIMA YA AFYA KWA WOTE

NHIF MASASI YAENDELEA KUTOA ELIMU YA BIMA YA AFYA KWA WOTE

АЗИЯДАГЫ ЧОҢ АЛАМАН УЛАК 🤩#байтв

АЗИЯДАГЫ ЧОҢ АЛАМАН УЛАК 🤩#байтв

CHAMA CHA MPIRA MTWARA, MTWAREFA CHAFANYA MKUTANO MKUU,2025 WADAU  WAOMBWA KUSAPOTI SOKA MTWARA

CHAMA CHA MPIRA MTWARA, MTWAREFA CHAFANYA MKUTANO MKUU,2025 WADAU WAOMBWA KUSAPOTI SOKA MTWARA

WAKANDARASI WA KUSAMBAZA UMEME WATAKIWA KWENDA NA KASI YA SERIKALI

WAKANDARASI WA KUSAMBAZA UMEME WATAKIWA KWENDA NA KASI YA SERIKALI

FEARLESS GACHAGUA LECTURES SUSAN KIHIKA IN HIS BEDROOM BADLY!!

FEARLESS GACHAGUA LECTURES SUSAN KIHIKA IN HIS BEDROOM BADLY!!

KONDE KILLER AELEZEA ALIVYOTOSWA NA HARMONIZE KWENYE SAFARI YAKE YA MUZIK

KONDE KILLER AELEZEA ALIVYOTOSWA NA HARMONIZE KWENYE SAFARI YAKE YA MUZIK

MSAFARA ULIOBEBA MWILI WA MKAPA UKIELEKEA LUPASO KUTOKA MASASI AIRPORT |MAPOKEZI MAZITO

MSAFARA ULIOBEBA MWILI WA MKAPA UKIELEKEA LUPASO KUTOKA MASASI AIRPORT |MAPOKEZI MAZITO

МЫНДАЙ УЛАК БОЛО ЭЛЕК 💪 #байтв

МЫНДАЙ УЛАК БОЛО ЭЛЕК 💪 #байтв

Ayatollah Ali Khamenei ni nani? Fahamu historia ya Kiongozi huyu Mkuu wa IRAN

Ayatollah Ali Khamenei ni nani? Fahamu historia ya Kiongozi huyu Mkuu wa IRAN

WAHASIBU WATATU H/ MJI MASASI WASIMAMISHWA KAZI KWA KUGHUSHI VIBALI, RISITI

WAHASIBU WATATU H/ MJI MASASI WASIMAMISHWA KAZI KWA KUGHUSHI VIBALI, RISITI

Tazama jinsi baiskeli ilivyozua tafrani kwa wanandoa hawa

Tazama jinsi baiskeli ilivyozua tafrani kwa wanandoa hawa

🔴#LIVE Masasi: MAMA TARIQ ALIYEULIZWA -

🔴#LIVE Masasi: MAMA TARIQ ALIYEULIZWA - "MBONA HUONGEI, UKOROFI" Afunguka - "NIMEFURAHI ku TREND"

Waziri Mkuu awasimamisha kazi maafisa wa Halmashauri ya Mji Masasi

Waziri Mkuu awasimamisha kazi maafisa wa Halmashauri ya Mji Masasi

🔴#Live:MASASI YAWAKA MOTO: DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AINGIA KWA KISHINDO KATIKA KAMPENI ZA URAIS CCM!

🔴#Live:MASASI YAWAKA MOTO: DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AINGIA KWA KISHINDO KATIKA KAMPENI ZA URAIS CCM!

Люди От 1 До 100 Лет Участвуют В Гонке За $250,000!

Люди От 1 До 100 Лет Участвуют В Гонке За $250,000!

© 2025 ycliper. Все права защищены.



  • Контакты
  • О нас
  • Политика конфиденциальности



Контакты для правообладателей: [email protected]