Hekaheka ya mtoto wa miaka mitano anayedaiwa kubakwa na kaka yake
Автор: Millard Ayo
Загружено: 2017-04-10
Просмотров: 15166
Описание:
Mtangazaji Geah Habibu kupitia kipindi cha Leo Tena ya Clouds FM, leo April 10 2017 ametuletea Heka Heka inayotokea Kigogo jijini Dar es Salaam ambayo inamuhusu mtoto wa kike kubakwa na kaka yake.
Mtoto huyo mwenye umri wa miaka mitano anadaiwa kufanyiwa udhalilishaji huo na kaka yake wa kuzaliwa tumbo moja mwenye umri wa miaka 13 ambapo amekuwa anawahadithia majirani kila anapofanyiwa kitendo hicho.
Повторяем попытку...
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео
-
Информация по загрузке: