AJALI DAR: BASI la BURUDANI LAGONGANA na DALADALA MBEZI, MAJERUHI WAKIMBIZWA HOSPITALI....
Автор: Global TV Online
Загружено: 2023-04-08
Просмотров: 55654
Описание:
AJALI DAR: BASI la BURUDANI LAGONGANA na DALADALA MBEZI, MAJERUHI WAKIMBIZWA HOSPITALI....
Basi la Kampuni ya Burudani lilikuwa likitokea Tanga kwenda Dar es Salaam limeacha njia na kuparamia vyombo vingine vya usafiri ikiwamo magari matatu, pikipiki tatu na bajaji tatu.
Ajali hiyo imetokea leo Aprili 8, 2023 katika eneo la Kibamba Luguruni jijini Dar es Salaam.
Kwa mujibu wa mashuhuda, basi hilo linadaiwa kuwa lilikuwa kwenye mwendokasi hivyo wakati likijaribu kulikwepa gari dogo lililokuwa linaingia barabarani, likapoteza mwelekeo na kuhamia upande wa pili wa barabara na kugonga daladala na bodaboda.
Bado hakujatolewa taarifa za aliyepoteza maisha kwani majeruhi wamewahishwa katika Hospitali ya Poshi iliyopo jirani na eneo hilo.
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: http://ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:http://bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:https://apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: [email protected] OR [email protected]
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo na Burudani Tanzania!
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: http://bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: http://bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: http://bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV http://bit.ly/globaltvonline
Повторяем попытку...
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео
-
Информация по загрузке: