Iran: 'Tutatetea maslahi yetu' Katika Dira ya Dunia TV
Автор: BBC News Swahili
Загружено: 2026-02-07
Просмотров: 11723
Описание:
Taifa la Iran limesema mazungumzo kati ya Tehran na Washington yamemalizika mjini Muscat, huku pande hizo mbili zikikubali kuendeleza mazungumzo katika siku za usoni. Waziri wa mambo ya kigeni wa Iran Abbas Aragchi amesema wasiwasi wa kutoaminiana unafaa kuondolewa.
Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili / @bbcnewsswahili
Повторяем попытку...
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео
-
Информация по загрузке: