Maalim Seif Sharif Hamadi afariki dunia
Автор: Azam TV
Загружено: 2021-02-17
Просмотров: 15389
Описание:
Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad amefariki dunia majira ya saa 5.26 asubuhi ya leo Februari 17, 2021 katika Hospitali ya Muhimbili alipokuwa akipatiwa matibabu.
Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Dkt Hussein Ali Mwinyi ametangaza msiba huo na kutangaza siku saba za maombolezo.
#BreakingNews #AzamTVUpdates
Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya kijamii:-
►INSTAGRAM: / azamtvtz
►INSTAGRAM: / azamsports2
►TWITTER: / azamtvtz
►FACEBOOK: / azamtvtz
►WEBSITE: http://www.azamtv.co.tz
Повторяем попытку...
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео
-
Информация по загрузке: