Seneti yamtaka mkaguzi mkuu kutoa hesabu ya Sh. 449.1 milioni Mandera
Автор: Citizen TV Kenya
Загружено: 2026-01-31
Просмотров: 3363
Описание: Kamati ya seneti kuhusu uhasibu sasa inamtaka mkaguzi mkuu wa hesabu kutoa taarifa rasmi kuhusu utumizi wa fedha za kaunti ya Mandera. Hii ni baada ya masuali kuibuliwa kuhusu matumizi ya shilingi milioni 449.1 za kaunti hiyo ambazo zilikuwa zimetengewa dharura. Gavana wa mandera aden khalif aliieleza seneti kuwa alitumia fedha hizo kununua chakula cha msaada, kusafirisha maji na kununua mbegu
Повторяем попытку...
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео
-
Информация по загрузке: