ycliper

Популярное

Музыка Кино и Анимация Автомобили Животные Спорт Путешествия Игры Юмор

Интересные видео

2025 Сериалы Трейлеры Новости Как сделать Видеоуроки Diy своими руками

Топ запросов

смотреть а4 schoolboy runaway турецкий сериал смотреть мультфильмы эдисон
Скачать

Tunataka tuifanye Morogoro liwe Jiji - RC Malima.

Автор: RS MOROGORO

Загружено: 2024-07-02

Просмотров: 176

Описание: Serikali Mkoani Morogoro ikiongozwa na Mkuu wa Mkoa huo Mhe. Adam Kighoma Malima imedhamiria na inaendelea kuweka mikakati na mipango madhubuti kuhakikisha Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro inakuwa miongoni mwa Miji mikubwa hapa Nchni.

Hayo yamebainishwa Julai 2, 2024 na Mkuu wa Mkoa huo Mhe. Adam Kighoma Malima wakati wa kikao Maalum cha Baraza la Madiwani la Halmashauri hiyo cha kujadili hoja za Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kilichofanyika mkoani humo.

Mhe. Malima amesema kupitia ujio wa reli ya kisasa ya mwendo kasi (SGR) inakuwa chachu ya maendeleo katika Mkoa huo na itachangia kwa vikubwa Mkoa wa Morogoro kuwa jiji kwa sababu ya uwepo wa wasafiri wengi wanaopita mkoani humo ambao wataongeza mzunguko wa fedha na Halmashauri kujipatia mapato ya kutosha.

"...sasa nyie mkitaka kujiita city village ni nyie lakini mimi nataka Morogoro iitwe city council.." amesisitiza Mhe. Adam Malima.

Hata hivyo Mkuu huyo wa Mkoa amesema, Halmashauri hiyo haiwezi kuwa jiji kama ukusanyaji wa mapato ya ndani ni hafifu, pamoja na kuipongeza kuwa ndiyo Halmashauri inayoongoza kwa ukusanyaji wa mapato ya ndani kati ya Halmashauri zote za Mkoa huo, bado ameitaka Halmashauri hiyo kuweka mikakati ya kuongeza ukusanyaji wa mapato ya ndani kwa dhamira ya kukidhi moja ya vigezo vya kuwa jiji lakini pia kuwaletea wananchi maendeleo.


Kwa upande wake Katibu Tawala Mkoa wa Morogoro Dkt. Mussa Ali Mussa amesema anasikitika sana kuona Halmashauri ya manispaa ya Morogoro inakuwa na mazingira machafu muda wote, likiwemo soka la Mawenzi. hivyo, amewataka watendaji kufanya jitihada na kutafuta mbinu mbadala za kutatua changamoto hiyo ya kuusafisha mji huo ili kuhakikisha mazingira ya manispaa hiyo yanakuwa safi.

Sanjari na hilo Dkt. Mussa amewataka watendaji wa Halmashauri hiyo kuhakikisha wanakusanya kodi kwa wafanyabiashara wote wa mji huo, kwani kuna kila dalili za manispaa hiyo kutokusanya kodi kwa baadhi ya wafanyabiashara au kama kodi hiyo inakusanywa basi haiingizwi kwenye mifuko ya Serikali.

Naye Mkuu wa Wilaya ya Morogoro Mhe. Rebeca Nsemwa amesema Halmashauri hiyo ina mpango wa kuupanga mji huo kuwa wa kisasa zaidi ikiwa ni pamoja na kuondoa vibanda ambavyo vimekaa maeneo yasiyo sahihi, kupanga biashara mahali panapo stahili na kutoza faini kwa wale watakaobainika kuchafua mazingira ya manispaa hiyo ili kuhakikisha usafi unazingatiwa hususan kipindi hiki cha kujipanga kuelekea Morogoro kuitwa Jiji.

MWISHO.

Не удается загрузить Youtube-плеер. Проверьте блокировку Youtube в вашей сети.
Повторяем попытку...
Tunataka tuifanye Morogoro liwe Jiji - RC Malima.

Поделиться в:

Доступные форматы для скачивания:

Скачать видео

  • Информация по загрузке:

Скачать аудио

Похожие видео

USIKU WA VITASA | Tazama burudani ya George Bonabucha akimtandika Juma Fundi |

USIKU WA VITASA | Tazama burudani ya George Bonabucha akimtandika Juma Fundi |

🔴#LIVE Kutoka MOROGORO: GOOD MORNING NA RC ADAM MALIMA | 10 JULY 2023

🔴#LIVE Kutoka MOROGORO: GOOD MORNING NA RC ADAM MALIMA | 10 JULY 2023

RC MALIMA AWAWASHIA MOTO KWA MKURUGENZI NA AFISA MIPANGO MIJI MANISPAA MOROGORO

RC MALIMA AWAWASHIA MOTO KWA MKURUGENZI NA AFISA MIPANGO MIJI MANISPAA MOROGORO

MAANDALIZI YA MKOA  MOROGORO KUWA JIJI YAMEWEZEKANA KUTOKANA NA (TEAM).YA MKOA NA WILAYA NA WADAU

MAANDALIZI YA MKOA MOROGORO KUWA JIJI YAMEWEZEKANA KUTOKANA NA (TEAM).YA MKOA NA WILAYA NA WADAU

MZUMBE YA MTUNUKU RAIS SAMIA SHAHADA YA UDAKTARI WA HESHIMA KATIKA UONGOZI

MZUMBE YA MTUNUKU RAIS SAMIA SHAHADA YA UDAKTARI WA HESHIMA KATIKA UONGOZI

MWANAFUNZI AJIFUNGUA CHOONI TABORA-RC CHACHA ACHARUKA

MWANAFUNZI AJIFUNGUA CHOONI TABORA-RC CHACHA ACHARUKA

Rc Malima agusia Morogoro Kuwa Jiji,,,,Asema Wapo Madiwani Maslahi Ya Umma Na Binafsi

Rc Malima agusia Morogoro Kuwa Jiji,,,,Asema Wapo Madiwani Maslahi Ya Umma Na Binafsi

SITOWAVUMILIA WATENDAJI WAZEMBE KAZINI – DKT. BASHIRU

SITOWAVUMILIA WATENDAJI WAZEMBE KAZINI – DKT. BASHIRU

MHE ULENGE, MSIICHUKULIE POA  TANGA JIJI, TUNAHITAJI MAENDELEO.

MHE ULENGE, MSIICHUKULIE POA TANGA JIJI, TUNAHITAJI MAENDELEO.

MKE WA PROFESA NGOWI: “WAZIRI MWIGULU MADELU SACCOS YA MZUMBE UNIVERSITY HAWATAKI KUNIPA PESA YANGU”

MKE WA PROFESA NGOWI: “WAZIRI MWIGULU MADELU SACCOS YA MZUMBE UNIVERSITY HAWATAKI KUNIPA PESA YANGU”

RC MALIMA AWATEMBELEA MAJERUHI AJALI MOROGORO, ALIA NA MADEREVA.

RC MALIMA AWATEMBELEA MAJERUHI AJALI MOROGORO, ALIA NA MADEREVA.

NDOTO ZA UKWELI ZA MOROGORO KUWA JIJI KUPITIA  ALHAJI  MALIMA  ZAWA KWELI.

NDOTO ZA UKWELI ZA MOROGORO KUWA JIJI KUPITIA ALHAJI MALIMA ZAWA KWELI.

MEYA MPYA MANISPAA APONGEZWA KWA KUAMINIWA NA BARAZA

MEYA MPYA MANISPAA APONGEZWA KWA KUAMINIWA NA BARAZA

RC MALIMA ATEMA CHECHE MGOGORO WA BARABARA, ATOA SIKU 7 KUMALIZIKA.

RC MALIMA ATEMA CHECHE MGOGORO WA BARABARA, ATOA SIKU 7 KUMALIZIKA.

RAS MOROGORO AWOMBA WATAALAMU KUTUMIA TAKWIMU KATIKA UTENDAJI WAO WA KAZI.

RAS MOROGORO AWOMBA WATAALAMU KUTUMIA TAKWIMU KATIKA UTENDAJI WAO WA KAZI.

Rc Malima awatembelea majeruhi wa ajali, atoa wito kwa wananchi.

Rc Malima awatembelea majeruhi wa ajali, atoa wito kwa wananchi.

Wito watolewa wananchi kushiriki maonesho ya biashara Morogoro.Mkuu wa Mkoa wa Morogoro.

Wito watolewa wananchi kushiriki maonesho ya biashara Morogoro.Mkuu wa Mkoa wa Morogoro.

RC Malima akemea tabia zisizofaa kwa walimu.

RC Malima akemea tabia zisizofaa kwa walimu.

#RC MANYARA AMFUTA KAZI MWALIMU KWA UBADHIRIFU

#RC MANYARA AMFUTA KAZI MWALIMU KWA UBADHIRIFU

Meya wa Manispaa ya Moro Mstahiki Pascal Kihanga anika mbinu za kuigeuza Manispaa kuwa jiji

Meya wa Manispaa ya Moro Mstahiki Pascal Kihanga anika mbinu za kuigeuza Manispaa kuwa jiji

© 2025 ycliper. Все права защищены.



  • Контакты
  • О нас
  • Политика конфиденциальности



Контакты для правообладателей: [email protected]