JE, MUNGU ALIUMBA NGONO? | Mahubiri ya Kaya na Familia - Siku ya 1 | Pr. Peter John | Bukelebe TV
Автор: HopeTech Media
Загружено: 2025-09-30
Просмотров: 484
Описание:
Karibu katika mfululizo wa Mahubiri ya Kaya na Familia yanayoendelea katika Kanisa la Waadventista wa Sabato Kimara, yakiongozwa na Pastor PeterJohn.
Leo ni siku ya kwanza yenye kichwa cha somo: “Je, Mungu Aliumba Ngono?”
Katika somo hili, tunajifunza mpango wa Mungu juu ya ndoa, uhusiano wa kifamilia, na namna ya kuishi maisha matakatifu kwa heshima na utukufu wa Muumba. Ni mwaliko wa kujifunza pamoja, ili familia zetu ziwe imara na zenye baraka.
🙏 Usikose kuendelea kufuatilia mfululizo huu kupitia Bukelebe TV, kwa ajili ya mafundisho na mibaraka ya kiroho.
➡️ Subscribe, Like na Share ili ujumbe huu ufikie wengi kwa ajili ya wokovu na faraja ya familia nyingi.
#BukelebeTV #SDA #MahubiriYaFamilia #KayaNaFamilia #PastorPeterJohn #MunguAliumbaNgono #Uhusiano #Ndoa #Biblia #Adventist
Bukelebe TV, SDA Church, Pastor PeterJohn, Mahubiri ya Kaya na Familia, Je Mungu Aliumba Ngono, Ndoa na Familia, Ushauri wa Ndoa, Ngono katika Biblia, Mafundisho ya Kikristo, Adventist Sermons, SDA Tanzania
Повторяем попытку...
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео
-
Информация по загрузке: