Ufugaji Kuku Tanzania – Manase Mrindwa wa Poultry Association Tanzania asema unaweza Kukua na Kuku
Автор: Kukua Na Kuku
Загружено: 2021-04-15
Просмотров: 3704
Описание:
Je, unajua kuna chama cha Poultry Association of Tanzania (P.A.T) ambacho ni chama Mama kinachounganisha wafugaji wa Kuku nchini? Kutana na Katibu wa Poultry Association of Tanzania, Bw. Manase Mrindwa ambae amekuwa akifanya shughuli za ufugaji kwa zaidi ya miaka 14 na mwenye uzoefu mkubwa sana kwenye ufugaji.
Fahamu kuhusu shughuli za PAT na fursa zilizopo kwenye secta ya ufuga kuku.
Kumbuka, wewe unaweza kukua na kuku. #Kukuanakuku
------
Did you know that there is a Poultry Association of Tanzania (P.A.T) which holds and unites poultry farmers in the country?
Meet the Secretary of the Poultry Association of Tanzania, Mr. Manase Mrindwa, who has been a poultry farmer for over 14 years extensive experience in poultry.
Learn about PAT activities and the opportunities available in the poultry sector.
Remember, you can grow with chickens. #Kukuanakuku
Повторяем попытку...
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео
-
Информация по загрузке: