3-SIKIA ALICHO ZUNGUMZA LENGAI OLE SABAYA MAHAKAMANI.
Автор: Hababi Mohammed
Загружено: 2017-08-11
Просмотров: 159808
Описание:
Na.HABABI MOHAMMED-ARUSHA.
Mwenyekiti wa umoja wa vijana UVCCM Lengai Ole Sabaya amefikishwa mahakama ya hakimu mkazi Arusha na kusomewa mashtaka mawili ikiwa ni mara ya nne kwa makosa,kujifanya mtumishi wa usalma wa taifa na kugushi nyaraka za serikali.
Lengai ambae pia ni diwani wa kata ya sambasha anakabiliwa na kesi ya jinai namba 264 ambapo mnamo tarehe kumi na nane mwezi mei mwaka jana kwa alikamatwa kwa makosa hayo rasmi.
Mapema leo mwenyekiti huyo mara baada ya kuachiwa kwa dhamana ya shilingi milioni sita amezungumza na wanahabari kuhusu tuhuma hizo ambapo amesema ni faraja kwake kuona wananchi anao waongozi bado wanaendelae kushirikiana nao na anaamini kesi hiyo ni masuala ya kisiasa tu.
Kwa upande wake Hakimu mkazi Nestory Baro amesema kesi itaiitwa tena mahakamani hapo tarehe 30 mwezi huu ambapo mpaka sasa uchunguzi unaendelea kuhusu kesi hiyo.
Mwisho.
Повторяем попытку...
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео
-
Информация по загрузке: