MAAJAB: HECHE AMEZUIA KESI YA LISSU KUFIKA MWISHO ILI AWE MKUBWA KWENYE CHAMA " MWABUKUSI APINGA "
Автор: UHURU MEDIA ONLINE
Загружено: 2026-01-13
Просмотров: 2636
Описание:
Mwanachama wa CCM ametoa tuhuma nzito kwa makamu mwenyekiti wa chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA John heche kutumia changamoto za mwenyekiti wa chama cha chadema Tundu lissu anayeshikiliwa kwa KESI ya uhaini kwa manufaa yake binafsi. Tuhuma hizo zinadai kuwa John heche amekua akizuia jitihada za KESI ya Tundu lissu kwa makusudi kufika mwisho kwa lengo la kuendelea kunufaika na Kesi ya Tundu Lissu ili andelee kubaki na ushawishi mkubwa katika chama na kuendelea kukusanya fesha kutoka ndani na nje ya nchi Kwa kisingizio cha kuhamasisha maandamano ya kidemokrasia. Tuhuma hizo zimetolewa na machange ambae anadai kuwa Kuna sitomfahamu kubwa imeibuka ndani ya Chadema ambapo kwa sasa john heche, God bless Lema na Sugu pamoja na viongozi wengine hawazungumzi tena lugha moja. Wakati huo huo rais wa chama cha wanasheria Tanganyika kupuuza uzushi huo Huku akiwataka watanganyika waamini ya kwamba Heche ni mtu mwema.
#tundulissu #johnheche #mahakamani #mwabukusi
Повторяем попытку...
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео
-
Информация по загрузке: