''Msikubali jeshi letu kuchafuka'' Samia Suluhu Hassan
Автор: BBC News Swahili
Загружено: 2025-12-16
Просмотров: 72364
Описание:
''Hiki chombo kuwe kuna CCM kuwe kuna CHADEMA kuwe kuna chama gani, Hiki chombo kiko tu kwaajili ya kuilinda nchi na kulinda wananchi wa nchi hii''
-
Rais Samia Suluhu Hassan wa Tanzania amelitaka jeshi la nchi hiyo kutojiingiza katika siasa.
-
Samia alikuwa akizungumza katika mkutano wa 9 wa mkuu wa majeshi CDF na makamanda wakuu uliofanyika katika Shule ya Kijeshi ya Ulinzi wa Anga (SKUA) mkoani Tanga.
-
-
-
#tanzania #bbcswahili #foryou #chadema #ccm #jwtz #SamiaSuluhuHassan
Повторяем попытку...
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео
-
Информация по загрузке: