PPAA YATOA RAI WAZABUNI KUTUMIA MODULI KUWASILISHA RUFAA
Автор: PUBLIC PROCUREMENT APPEALS AUTHORITY (PPAA)
Загружено: 2025-07-08
Просмотров: 500
Описание:
Mamlaka ya Rufani ya Zabuni za Umma (PPAA) imetoa rai kwa wazabuni kutumia Moduli ya kupokea na kushughulikia malalamiko katika mfumo wa NeST ili kuokoa muda na gharama zisizo na ulazima.
Rai hiyo imetolewa na Katibu Mtendaji wa PPAA, Bw. James Sando alipoongea na waandishi wa Habari katika banda la Mamlaka hiyo kwenye Maonesho ya 49 ya Biashara ya Kimataifa (Sabasaba) Jijini Dar es Salaam.
Повторяем попытку...
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео
-
Информация по загрузке: