KIJANA MIAKA 19 ABUNI MFUMO WA KUPAMBANA NA WANAFUNZI WANAOSABABISHA MABWENI KUUNGUA
Автор: Millard Ayo
Загружено: 2021-08-17
Просмотров: 68261
Описание: Kijana Oscar mwenye umri wa miaka 19 ambaye anasoma kidato cha sita katika shule hii ya Ufundi Ifunda iliyopo Iringa yamejitosa na kuja na ubunifu ambao anasema utasaidia kwa namna moja au nyingine kukabiliana na vitendo vya wanafunzi kuchezea mifumo ya umeme ambako kunaweza kupelekea kutokea kwa majanga ya moto kwenye mabweni.
Повторяем попытку...
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео
-
Информация по загрузке: