TRC YAIPUNGUZIA SERIKALI MATUMIZI ya SHILINGI BILIONI 12.9 kwa MWAKA - BUNGE LAIPA KONGOLE...
Автор: Global TV Online
Загружено: 2026-02-14
Просмотров: 687
Описание:
TRC YAIPUNGUZIA SERIKALI MATUMIZI ya SHILINGI BILIONI 12.9 kwa MWAKA - BUNGE LAIPA KONGOLE...
CC; BAKARI MAHUNDU
Wizara ya uchukuzi imesema Bunge la Tanzania limeitaka serikali kuhakikisha inaulinda mradi wa reli ya kiwango cha kimataifa (SGR) unaotekelezwa na Shirika la Reli Tanzania (TRC).
Kauli hiyo imetolewa Februari 14, 2026 na Naibu Waziri wa Uchukuzi Mhe. David Kihenzile, wakati wa ziara ya kamati ya kudumu ya Bunge ya Miundombinu, iliyotembelea mradi wa SGR kwa lengo la kupata ufahamu na uelewa wa majukumu ya Shirika pamoja na hatua mbalimbali zilizofikiwa katika utekelezaji wa miradi ya miundombinu ya Reli.
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: [email protected]
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo na Burudani Tanzania!
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: http://bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: http://bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: http://bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: http://ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:http://bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:https://apple.co/38HjiCx
Повторяем попытку...
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео
-
Информация по загрузке: