NI ANDIKO GANI LINASEMA KUNYWA POMBE NI DHAMBI?
Автор: MWALIMU ISAYA BENSON
Загружено: 2024-04-23
Просмотров: 6553
Описание:
#specialthanks to my spritual father H.E HON. DR. GEORDAVIE PEACE AMBASSADOR.
Je una swali lolote gumu kutoka ndani ya biblia linakusumbua na umekosa majibu kabisa? basi usisite kuuliza Mwalimu Isaya Benson yupo kwa ajili ya kujibu maswali yako yote yanayokusumbua. Andika swali lako kwenye comment nalo litajibiwa bila shaka yoyote.
ZABURI 119:130
Kufafanusha maneno yako kwatia nuru na kumfahamisha mjinga
ZABURI 119:11
Moyoni mwangu nimeliweka neno lako nisije nikakutenda dhambi
Повторяем попытку...
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео
-
Информация по загрузке: