ycliper

Популярное

Музыка Кино и Анимация Автомобили Животные Спорт Путешествия Игры Юмор

Интересные видео

2025 Сериалы Трейлеры Новости Как сделать Видеоуроки Diy своими руками

Топ запросов

смотреть а4 schoolboy runaway турецкий сериал смотреть мультфильмы эдисон
Скачать

MAAGIZO YA DC BOMBOKO KWA WAMILIKI WA MABASI WANAOKIUKA SHERIA NA KUTOTUMIA STENDI KUU YA MAGUFULI

Автор: UBUNGO MANISPAA

Загружено: 2025-01-09

Просмотров: 1068

Описание: MKUU wa wilaya ya ubungo Mhe. Hassan Bomboko amewataka wamiliki wa mabasi yaendayo mikoani wanaopakia na kushusha abiria kwenye vituo visivyo rasmi kurejea katika Stendi kuu ya mabasi ya Magufuli kama sheria inavyoelekeza.

Ameyasema hayo leo Januari 9, 2025 wakati alipotembelea na kukagua maeneo mbalimbali ya kituo hicho na kusikiliza kero za wafanyabiashara, wadau na wananchi ambao wanafanya kazi zao katika kituo hicho.

Mh. Bomboko amesema Stendi rasmi ya mabasi yanayotokea Dar es salaam kwenda mikoani ni Stendi ya Magufuli na serikali haijatoa kibali chochote na haizitambui Stendi ambazo sio rasmi, hivyo amewataka wamiliki wote wa makampuni ya mabasi kuhakikisha mabasi yao yanafata Sheria ya kutumia kituo cha mabasi cha Magufuli na waache kutumia zisizo rasmi.

Ameongeza kuwa kuanzia siku ya kesho (10 Januari, 2025) yeye na timu yake ya ulinzi na usalama atatembelea Stendi bubu zote ili kuhakikisha makampuni yote ya usafirishaji yanafata Sheria ya kurudisha shughuli zao za usafirishaji katika Stendi rasmi ya Magufuli.

Katika kuhakikisha agizo hilo linaanza kutekelezwa, Mhe. Bomboko amewataka LATRA kuhakikisha kuanzia kesho (10 Januari, 2025) mabasi yote yaanze kuingia ndani ya Stendi rasmi ya Magufuli na si vinginevyo.

Naye mwakilishi kutoka RATRA Ndg. Nziku amesema Stendi nyingine inayotambulika ni ile ya mbagara Kwa magari yanayofanya safari zake za kuelekea kusini na amekiri kuwa hizo nyingine ambazo ni kama shekilango,urafiki na nyinginezo si Stendi rasmi.

Sambamba na hayo Mhe. Bomboko amesema Serikali ina mikakati ya kujenga soko maalum kwa ajili ya wamachinga na ameahidi kuwa serikali itafanyia kazi na kutatua changamoto zote ambazo wadau hao wameziwasilisha.

Не удается загрузить Youtube-плеер. Проверьте блокировку Youtube в вашей сети.
Повторяем попытку...
MAAGIZO YA DC BOMBOKO KWA WAMILIKI WA MABASI WANAOKIUKA SHERIA NA KUTOTUMIA STENDI KUU YA MAGUFULI

Поделиться в:

Доступные форматы для скачивания:

Скачать видео

  • Информация по загрузке:

Скачать аудио

Похожие видео

RAIS DKT. MAGUFULI AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA KATIKA MARADI WA UJENZI WA MACHINJIO  VINGUNGUTI

RAIS DKT. MAGUFULI AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA KATIKA MARADI WA UJENZI WA MACHINJIO VINGUNGUTI

RC CHALAMILA ATEMBELEA MRADI WA SHULE YA WASICHANA KWEMBE | ARIDHISHWA NA UBORA | ATOA MAAGIZO

RC CHALAMILA ATEMBELEA MRADI WA SHULE YA WASICHANA KWEMBE | ARIDHISHWA NA UBORA | ATOA MAAGIZO

RAIS DKT MAGUFULI AZUNGUMZA NA WAFUNGWA NA MAHABUSU KATIKA GEREZA LA BUTIMBA JIJINI MWANZA

RAIS DKT MAGUFULI AZUNGUMZA NA WAFUNGWA NA MAHABUSU KATIKA GEREZA LA BUTIMBA JIJINI MWANZA

MAGUFULI AANIKA MADUDU KUHUSU CORONA -

MAGUFULI AANIKA MADUDU KUHUSU CORONA - "FENESI, MBUZI NAO WANA CORONA"

Срочная переброска авиации / Крупнейшая потеря России

Срочная переброска авиации / Крупнейшая потеря России

HOTUBA YA RAIS DKT JOHN MAGUFULI AKIZINDUA STENDI YA MABASI MBEZI DAR ES SALAAM

HOTUBA YA RAIS DKT JOHN MAGUFULI AKIZINDUA STENDI YA MABASI MBEZI DAR ES SALAAM

Magufuli Bus Terminal | DRONE

Magufuli Bus Terminal | DRONE

HOTUBA KAMILI YA RAIS MAGUFULI AKIWA TARIME - 07/09/2018

HOTUBA KAMILI YA RAIS MAGUFULI AKIWA TARIME - 07/09/2018

HOTUBA YA RAIS MAGUFULI AKIWA UKEREWE - 04/09/2018

HOTUBA YA RAIS MAGUFULI AKIWA UKEREWE - 04/09/2018

DC KOMBA ATEMBELEA DAR ES SALAAM GIRLS | AAGIZA KUWE NA

DC KOMBA ATEMBELEA DAR ES SALAAM GIRLS | AAGIZA KUWE NA "THE SAMIA ACADEMIC PRIZE"

LIVE : RAIS DKT. JOHN P. MAGUFULI AKIWA NJIANI KURUDI DAR ES SALAAM

LIVE : RAIS DKT. JOHN P. MAGUFULI AKIWA NJIANI KURUDI DAR ES SALAAM

HOTUBA YA MHE. RAIS DKT MAGUFULI WAKATI AKIMUAPISHA CDF,IKULU DSM 06 FEB 2017

HOTUBA YA MHE. RAIS DKT MAGUFULI WAKATI AKIMUAPISHA CDF,IKULU DSM 06 FEB 2017

TUSICHUKULIE POA MPOX NA KIPINDUPINDU, DMO UBUNGO ATOA USHAURI, NYUMBA KWA NYUMBA, HATUACHI MTU

TUSICHUKULIE POA MPOX NA KIPINDUPINDU, DMO UBUNGO ATOA USHAURI, NYUMBA KWA NYUMBA, HATUACHI MTU

TUKIFANYA HAYA, WANANCHI WATANUFAIKA NA SERIKALI YAO YA DKT. SAMIA SULUHU HASSAN - RAS DKT NGUVILA

TUKIFANYA HAYA, WANANCHI WATANUFAIKA NA SERIKALI YAO YA DKT. SAMIA SULUHU HASSAN - RAS DKT NGUVILA

SIRI NZITO ANACHOKIFANYA DP WORLD KWENYE BANDARI YA DAR ES SALAAM, MABILIONI YAOKOLEWA

SIRI NZITO ANACHOKIFANYA DP WORLD KWENYE BANDARI YA DAR ES SALAAM, MABILIONI YAOKOLEWA

mabasi yakitoka kwa mbwe mbwe  stendi ya magufuli asubui yaleo

mabasi yakitoka kwa mbwe mbwe stendi ya magufuli asubui yaleo

HUYU NI MHE JOHN POMBE MAGUFULI 14 Nov 2013

HUYU NI MHE JOHN POMBE MAGUFULI 14 Nov 2013

Ona Dar es Salaam ya Zamani (1920s–1970s) | Historia ya Mzizima | Makala a.i

Ona Dar es Salaam ya Zamani (1920s–1970s) | Historia ya Mzizima | Makala a.i

HOTUBA YA RAIS DKT MAGUFULI ALIYOTOA KWA WAKURUGENZI WA HAMASHAURI,JULY 12,2016 IKULU DSM mp4

HOTUBA YA RAIS DKT MAGUFULI ALIYOTOA KWA WAKURUGENZI WA HAMASHAURI,JULY 12,2016 IKULU DSM mp4

🔴LIVE: MABASI YAKITOKA STEND YA MAGUFULI JIJINI #DAR_ES_SALAAM KWENDA MIKOANI 🙌🙌🔥🔥🔥

🔴LIVE: MABASI YAKITOKA STEND YA MAGUFULI JIJINI #DAR_ES_SALAAM KWENDA MIKOANI 🙌🙌🔥🔥🔥

© 2025 ycliper. Все права защищены.



  • Контакты
  • О нас
  • Политика конфиденциальности



Контакты для правообладателей: [email protected]