Ajali ya ndege Nandi
Автор: Citizen TV Kenya
Загружено: 2026-03-03
Просмотров: 980
Описание: Saa chache baada ya Tarehe ya mazishi ya watu sita walioangamia katika ajali ya ndege kule Mosop kaunti ya Nandi kutangazwa, Viongozi wa kaunti ya Narok wamefanya kikao maalum nyumbani kwake Marehemu mbunge Johana Ngeno na kutoa maelezo zaidi kuhusu mipango ya mazishi . Aidha walihimiza umuhimu wa shughuli hiyo ya Ijumaa kuendeshwa kwa amani.
Повторяем попытку...
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео
-
Информация по загрузке: