ZANZIBAR YASUKA MIKAKATI KUDHIBITI KATA KATA YA UMEME
Автор: Daily News Digital
Загружено: 2026-01-26
Просмотров: 34
Описание:
ZANZIBAR: WAZIRI wa Maji, Nishati na Madini Zanzibar, Nadir Abdullatif Alwardy, amesema Serikali ya Mapinduzi Zanzibar ina mipango madhubuti ya kuhakikisha wananchi wanaondokana na changamoto za kukatika kwa umeme mara kwa mara katika kipindi kifupi kijacho kwa kutumia mbinu mbadala za nishati.
Aliyasema hayo alipokutana na kufanya mazungumzo na Balozi mdogo wa Nchi za Falme ya Kiarabu U.A.E Zanzibar alipofika kutembelea wizara hiyo Maisara kwa lengo la kusalimiana na kubadilishana mawazo katika uimarishaji wa sekta hiyo muhimu kwa wanajamii inayotumika kila siku katika kuleta maendeleo.
Follow us on:
FACEBOOK;
SpotiLeo: / spotileo-176. .
HabariLeo: / habarileo
DailyNews: / dailynewstz
INSTAGRAM;
HabariLeo: https://instagram.com/habarileo_tz?ig...
SpotiLeo: https://instagram.com/spotileo?igshid...
TWITTER;
Twitter HabariLeo: https://twitter.com/HabariLeo?s=09
Повторяем попытку...
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео
-
Информация по загрузке: