BUNGU WAPATIWA MIL. 150 KUJENGA SHULE
Автор: Kilimo Kijani
Загружено: 2019-07-25
Просмотров: 877
Описание:
BUNGU WAPATIWA MIL. 150 KUJENGA SHULE
Na Omary Mngindo, Bungu Rufiji Julai 26
SERIKALI imeipatia Kata ya Bungu iliyoko Wilaya ya Kibiti Mkoa wa Pwani, sh. Mil. 150 kwa ajili ya ujenzi was shule na ofisi ya Kijiji cha Bungu 'B'.
Diwani wa Kata hiyo Shaha Mpendu alimweleza Mwandishi wa Habari hizi kuwa fedha hizo zinatumika kwa ajili ya miradi hiyo ya kimaendelei katani humo.
Sanjali na maendeleo hayo, wakazi katani humo wanakabillwa na changamoto ya huduma ya afya, inayotokana na kutokana na kwa Kituo cha afya kwenye kata hiyo.
Mpendu kuwa eneo lake lina idadi kubwa ya wakazi, ambao wanaotegemea huduma hiyo kwenye zahanati pekee.
MSIKILIZE SHAHA MPENDU ANAVYOSEMA
Повторяем попытку...
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео
-
Информация по загрузке: