Huyu hapa Mzee Magauni mwenye ndoto ya kufikisha watoto 300
Автор: UTV Tanzania
Загружено: 2025-03-23
Просмотров: 1855
Описание:
Wakati jamii ikihimizwa kuwa na idadi ya wastani ya watoto kwa ajili ya kuyamudu mahitaji yao, hali ni tofauti kwa Mzee Magauni Mondwa (72), mkazi wa Kijiji cha Ntatumbila, Nkasi, ambaye ana watoto 103 kutoka kwa wake 14.
Mzee Maguni, ambaye ni mfugaji mwenye zaidi ya ng’ombe 1,500, anasema licha ya tayari kuwa na familia kubwa, bado anaendelea kuoa ili kuongeza idadi ya watoto.
#azamnewsupdates
✍Sammy Kisika
Mhariri| @official_jennifersumi
Повторяем попытку...
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео
-
Информация по загрузке: