JEE! MAIBADHI WANATUKANA SAHABA? UFAFANUZI
Автор: Haki Kwa Dalili
Загружено: 2024-06-17
Просмотров: 2644
Описание:
Darsa hii imekuja katika kuwajibu wenye kuwatuhumu Maibadhi kwa tuhuma ya kutukana Masahaba.
Ukakika ni kua ndimi za Maibadhi ziko mbali sana na kutukana Sahaba yoyote, humsikii Sheikh wao yoyote wala Mlinganiaji wao yoyote wala Mwanafunzi wao wala huwezi kulipata hilo katika vitabu wanavyosomeshana Maibadhi katika darsa zao na vyuo vyao.
Повторяем попытку...
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео
-
Информация по загрузке: