Waliosalia "mabomani" Ngorongoro wahamasishwa kuhamia Msomera
Автор: Azam TV
Загружено: 2023-09-25
Просмотров: 1797
Описание: Mwenyekiti wa CCM mkoani Tanga, Rajabu Abdallahman amewaomba wananchi waliobaki katika maboma ya hifadhi ya Ngorongoro kutowasikiliza wanasiasa wanaopotosha kuhusiana utaratibu wa kuhamishiwa kwenye eneo la Msomera na badala yake wakubali kuhama kwa hiari kama ambayo wamefanya wengine.
Повторяем попытку...
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео
-
Информация по загрузке: