DW Kiswahili Habari za Ulimwengu | 26.02.2026 | Asubuhi | Swahili Habari leo | Podcast
Автор: DW Kiswahili
Загружено: 2026-02-26
Просмотров: 6199
Описание:
Hujambo karibu katika Dunia Yetu Leo Asubuhi miongoni mwa utakayoyasikia:-
Marekani yashinikiza suala la makombora katika mazungumzo na Iran.
Kiongozi wa Korea Kaskazini, Kim Jong Un, amesema taifa lake lenye silaha za nyuklia linaweza “kuiangamiza kabisa” Korea Kusini endapo usalama wake utatishiwa.
#dwkiswahili #DWSwahili #HabariLeo #RipotiNaUchambuzi #TaarifaYaHabari #DWKiswahiliPodcast /Ukitaka kupata habari zetu kila siku, bonyeza 'subscribe' kwenye chaneli yetu ya DW Kiswahili.
Повторяем попытку...
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео
-
Информация по загрузке: