Kiwango cha ufaulu Kata ya Mbwei chamuibua DC, awafunda wazazi
Автор: Mwananchi Digital
Загружено: 2021-10-07
Просмотров: 798
Описание:
Mkuu wa Wilaya ya Lushoto Mkoani Tanga Kalisti Lazaro amewataka Wazazi na Walezi kutokuwaacha vijana wao nyumbani wanapomaliza elimu ya msingi na sekondari na badala yake wawaendeleze kielimu ili waweze kubobea kitaaluma katika karne hii ya Sayansi na teknorojia .
Pia amewataka Wazazi hao kuacha mara moja tabia yakuwarubuni Watoto wao kufanya vibaya katika mitihani yao ya kitaifa kwa lengo la kwenda kufanya kazi za ndani [UYAYA} ili wao wajipatie kipato.
Wito huo ameutoa wakati wa mkutano wa hadhara uliofanyika kata ya Mbwei wilayani humo ambako kwa miaka mitatu mfululizo shule tatu za msingi zilizopo katika kata hiyo zimeshika nafasi ya mwisho katika mitihani ya kumaliza darasa la Saba.
Повторяем попытку...
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео
-
Информация по загрузке: