VYETI VYA KUZALIWA SASA KUPATIKANA NDANI YA SAA 48 TU!
Автор: RITA Tanzania
Загружено: 2025-12-13
Просмотров: 757
Описание:
Waziri wa katiba na sheria Mhe. Dkt. Juma Zuberi Homera, azindua Mpango wa Kutoa Vyeti vya Kuzaliwa Ndani ya Saa 48.
Akihutubia katika hafla ya uzinduzi huo iliyofanyika jijini Dar es salaam katika Ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano wa Julius Nyerere (JNICC), Dkt. Homera amepongeza mpango huo wa Wakala kwa kuongeza ufanisi mzuri wa utoaji huduma kidigitali kwa wananchi.
Sambamba na hilo, Dkt. Homera amesisitiza na kushauri Wakala kuandaa mpango mzuri wa usimamizi wa mirathi kwa kuzingatia Haki na Usawa kijinsia.
Wakala unaendelea na mkakati wake wa kuboresha huduma na kuhakikisha upatikanaji mzuri kidigitali kwa kushirikiana na taasi.
Повторяем попытку...
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео
-
Информация по загрузке: