Babu Tale acharuka wanaopinga udaktari wake, ‘nimekuwa Mluguru wa kwanza kusimamisha Bunge dk 45
Автор: Mwananchi Digital
Загружено: 2023-02-10
Просмотров: 4095
Описание: Baada ya sakata la udaktari wa heshima kuibuka bungeni na kuibua hoja tofauti kufuatia mbunge wa Mlalo kwa ticket ya CCM, Rashid Shangazi kuomba mwongozo wa Spika kuhusu shahada za heshima zilizotolewa kwa wabunge, Mbunge wa Morogoro Kusini Mashariki, Hamis Taletale maarufu kama Babu Tale ameibuka na kutetea shahada yake ya heshima aliyotunukiwa na Academy of Universal Global Peace (AUGP-USA) ya Marekani.
Повторяем попытку...
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео
-
Информация по загрузке: