Rais Magufuli Amtumbua Waziri wa Nishati na Madini Prof Muhongo, Amtaka Aachie Madaraka
Автор: Global TV Online
Загружено: 2017-05-24
Просмотров: 21734
Описание:
Rais Magufuli Amtaka Muhongo Aachie Ngazi, Aivunja Bodi ya TMAA na Kumfuta Kazi Mkurugenzi Wake
Visit https://globalpublishers.co.tz/, Subscribe / uwazi1
IKULU, DAR ES SALAAM: Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli leo Jumatano, Mei 24, 2017 wakati wa kupokea Ripoti ya Kamati Maalum ya Utafiti wa Mchanga (Makanika) uliomo kwenye makontena yaliyozuiliwa kwenye bandari tofauti hapa nchini, pamoja na hatua nyingine, amemtaka Waziri wa Nishati na Madini, Prof. Sospeter Muhongo ajitathmini kwa kina na ikiwezekana aachie ngazi mara moja kufuatia madudu yanayoendelea kwenye wizara yake ikiwemo upotevu wa madini.
Visit https://globalpublishers.co.tz/, Subscribe / uwazi1
Akipokea ripoti hiyo, Rais Magufuli pia amemfuta kazi Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya Ushauri ya Wakala wa Ukaguzi wa Madini Tanzania (TMAA), na kuivunja bodi hiyo kwa upotevu wa madini huku akiitaka TAKUKURU na vyombo vya dola kuwachunguza na kuwachukulia hatua wafanyakazi wa bodi hiyo.
Visit https://globalpublishers.co.tz/, Subscribe / uwazi1
Aidha Rais Magufuli ameonesha kusikitishwa mno na ripoti hiyo ambayo imebainika kwamba kiwango kikubwa cha madini kinachotoroshwa nje ya nchi.
/ uwazi1
/ uwazi1
/ uwazi1
Повторяем попытку...
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео
-
Информация по загрузке: