UANZISHWAJI WA MABWAWA YA SAMAKI WA BIASHARA WASHIKA KASI NCHINI
Автор: Mwanajamii Online
Загружено: 2019-12-11
Просмотров: 2242
Описание:
Mfanya Biashara maarufu nchini Ndugu Lucas Mashauri ametoa rai kwa Jamii kuanzisha Miradi mbalimbali ya kujiingizia kipato, ikiwemo mradi wa ufugaji wa samaki ambao unasoko kubwa sana nchini. Akiongea akiwa shambani kwake Kisemvule Mkoani Pwani ambapo ameanzisha miradi ya ufugaji wa samaki aina ya Sato na Kambale. Tanzania kumekuwa na uhaba mkubwa wa Samaki kutokana na Serikali kupiga marufuku uvuvi haramu, kipindi cha nyuma uvuvi wa haramu ulishika kasi kuliko kufanya samaki kupatikana kwa wingi lakini wasio salama kwa afya ya binadamu.
Ndugu Mashauri amempongeza Mheshimiwa Raisi kwa kuwa mstari wa mbele kwa Watanzania kutumia fursa zilizopo nchini kwa kunzisha miradi mbalimbali ya kujiingizia kipato na hivyo kuutokomeza umasikini.
Повторяем попытку...
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео
-
Информация по загрузке: