MWANAUME NJOMBE AWABAKA NA KULAWITI WANAWAKE WATATU KISHA KUWATESA
Автор: NJOMBE TV
Загружено: 2023-05-24
Просмотров: 4616
Описание:
Wanawake watatu wa mtaa wa Kihesa mjini Njombe wanadaiwa kubakwa na kulawitiwa na mwanaume mmoja anayetajwa kwa jina la Juma Msemwa mwenye umri wa miaka ishirini na saba a anayedaiwa kuwafunga kwa Kamba na kuwajaza vitambaa kinywani wakati akitekeleza azma yake.
Mmoja wa mashuhuda amelielezea tukio hilo na namna walivyobaini kutokea kwa ukatili huo ambapo mtuhumiwa anadaiwa kuwahadaa wanawake na kuwaingiza nyumbani kwake kuwafanyia ukatili huku mkuu wa wilaya ya Njombe Kissa Gwakisa akizungumza na wakazi wa eneo hilo wakati mtuhumiwa akiwa tayari anashikiliwa na jeshi la polisi.
Повторяем попытку...
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео
-
Информация по загрузке: