Kutana na mbunifu wa majiko yanayotumia mawe Tanzania
Автор: Nukta TV
Загружено: 2023-08-28
Просмотров: 2264
Описание:
#habari #tanzania #majiko #mkaa #ubunifu #cooking #live
Nishati ya kupikia ni miongoni mwa mahitaji muhimu ya binadamu duniani kote, hiyo ndio huwezesha mapishi ya aina mbalimbali za vyakula tunavyokula ili kuimarisha afya na kuwezesha utendaji wa shughuli za kila siku.
Raymond James (25) maarufu kama Mr Majiko, ndiye mbunifu wa majiko hayo yanayotumia mawe, umeme kidogo pamoja na chenga za mkaa mbadala zinazotokana na vifuu vya nazi.
Kijana huyo mkazi wa Gongo la Mboto jijini Dar es Salaam, ameiambia Nukta Habari kuwa kukosa ajira ndio sababu kubwa iliyommchochea kubuni majiko hayo ili aweze kujiingizia kipato kitakachomuwezesha kuendesha maisha.
Kwa habari zaidi:
Soma: https://nukta.co.tz/
Twitter: / nuktatanzania
Facebook: / nuktatanzania
Subscribe kwa makala zaidi za kina na kiuchambuzi @Nukta TV
Повторяем попытку...
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео
-
Информация по загрузке: