Askofu Mwijage alivyotoa Ushemasi kwa Mafrater wawili Jimboni Bukoba 2025
Автор: Radio Mbiu
Загружено: 2026-01-07
Просмотров: 152
Описание:
MISA YA USHEMASI- BUKOBA
▪︎ Shemasi Cicelius Buberwa na Shemas Frank Rwetembula wa Jimbo Katoliki Bukoba, wakipokea Daraja takatifu, wakati wa adhimisho la sadaka ya Misa Takatifu ya Utolewaji wa Daraja Takatifu ya Ushemasi, kutamatisha mwaka wa Jubilei na kufinga Kongamano la Utoto Mtakatifu Jimbo, katika Kanisa Kuu Jimbo Katoliki Bukoba.
▪︎ Misa Takatifu imeadhimishwa Desemba 28 2025 na Mhashamu Jovitus Mwijage Askofu wa Jimbo Katoliki Bukoba,kwa kusaidiana na Askofu Method Kilaini, katika Kanisa Kuu la Bikira Maria Mama mwenye Huruma- Bukoba, Jimbo Katoliki Bukoba.
.
.
www.radiombiu.co.tz
#RmSautiYaFaraja
Повторяем попытку...
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео
-
Информация по загрузке: