WATU 63 WAFARIKI DUNIA KWENYE AJALI MBAYA ya MAGARI MANNE - WENGINE WAJERUHIWA - UGANDA....
Автор: Global TV Online
Загружено: 2025-10-22
Просмотров: 7133
Описание:
WATU 63 WAFARIKI DUNIA KWENYE AJALI MBAYA ya MAGARI MANNE - WENGINE WAJERUHIWA - UGANDA....
@ONESMO SANGALALI
CC; BAKARI MAHUNDU
Takribani watu 63 wamethibitishwa kufariki dunia huku wengine kadhaa wakijeruhiwa vibaya kufuatia ajali mbaya ya barabarani iliyotokea asubuhi ya leo katika Kijiji cha Kitaleba, kilichopo kati ya barabara kuu ya Kampala na mji wa Gulu.
Kwa mujibu wa taarifa ya awali iliyotolewa na Jeshi la Polisi, ajali hiyo ilihusisha magari manne, yakiwemo mabasi mawili ya abiria, lori moja, na gari ndogo aina ya Toyota Land Cruiser. Mashuhuda wameripoti kuwa tukio hilo lilitokea baada ya mabasi mawili kujaribu kuyapita magari mengine kwa wakati mmoja, hali iliyosababisha mgongano mkali wa ana kwa ana.
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: [email protected]
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo na Burudani Tanzania!
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: http://bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: http://bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: http://bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: http://ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:http://bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:https://apple.co/38HjiCx
Повторяем попытку...
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео
-
Информация по загрузке: