Mpina awaka Serikali kuagiza sukari zaidi ya inayohitajika, asema inaenda kuua viwanda, soko la miwa
Автор: Mwananchi Digital
Загружено: 2024-06-04
Просмотров: 3936
Описание:
Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina amesema kuwa Serikali isipolinda viwanda vya ndani itashindwa kukkusanya kodi akisema kkuwa Serikaii imeagiza sukari tani 410 wakati kiasi cha sukari kinachohitajika ni tani 120 pekee.
Mpina ameyasema hayo leo Jumanne, Juni 4, 2024 wakati wa mjadala wa makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Fedha kwa mwaka wa fedha 2024/25 ambapo ameeleza kuwa kwa kuagiza kiasi hicho cha sukari Serikali itaua viwanda vya sukari nchini na kusababisha wakulima wa miwa kukosa soko.
Повторяем попытку...
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео
-
Информация по загрузке: