Ally Kamwe aachia ngazi kazi ya ukocha 'Team Dickson Job', kisa hiki hapa
Автор: Azam TV
Загружено: 2023-06-30
Просмотров: 32157
Описание:
Licha ya ushindi wa penati 4-2 dhidi ya Team Kibwana, Nahodha wa Team Dickson Job ameeleza kutoridhishwa na kiwango cha kocha wake, ambaye ni Ally Kamwe, jambo lililosababisha Ally Kamwe kutangaza kujiuzulu nafasi hiyo LIVE mara baada ya mchezo uliopigwa kwenye Dimba la Jamhuri, Morogoro.
FT: Team Kibwana 2-2 Team Job (Pen: 2-4).
#AzamSport2HD #WapeTabasamu #MechiYaKirafiki #MechiYaHisani #UzaziSalamaKwaKizaziBora #TeamKibwana #TeamJob
Повторяем попытку...
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео
-
Информация по загрузке: