Fujo Mathira baada ya mwili wa mtoto kupatikana chooni, nyumba ya mshukiwa yateketezwa
Автор: Citizen TV Kenya
Загружено: 2026-02-10
Просмотров: 5752
Описание: Kizaazaa na fujo zilishuhudiwa siku kutwa katika eneo la mathira kaunti ya Nyeri, ambapo polisi na wakazi wa Kijiji cha Rititi walikabiliana vikali. Hii ni baada ya wakazi kuopoa mwili wa mtoto wa miaka 9, uliokuwa umetupwa chooni. Mtoto huyo, Shantel Waruguru aliyekuwa ameripotiwa kutoweka jumamosi, alipatikana amekatakatwa na kutupwa chooni humo. Wakazi pia wlaiteketeza nyumba ya mshukiwa na nyanya ya mtoto huyo wakidai kuwa waili hao walishirikiana kujaribu kuficha mwili.
Повторяем попытку...
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео
-
Информация по загрузке: