CHANGAMKIA FURSA KWA KUFUGA MBUZI
Автор: Amina Mollel
Загружено: 2024-09-28
Просмотров: 30808
Описание:
Vijana changamkieni FURSA ya Ufugaji wa MBUZI kutokana na kuongezeka Kwa soko la nje la mauzo ya Nyama ambapo yameongezeka na sasa inachangia zaidi ya asilimia 70 ya mauzo yote katika nchi 12 zinazonunua nyama ya MBUZI hapa nchini.
Christopha Magesa mkazi wa Dodoma ameichangmkia fursa hii Kwa kufuga MBUZI na Kondoo zaidi ya 800 mkoani Dodoma. Mengi zaidi msikilize akielezea faida za ufugaji wa huu.
Повторяем попытку...
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео
-
Информация по загрузке: