LUHAGA MPINA na FATMA FEREJI KURUDISHA FOMU INEC KESHO ya KUGOMBEA URAIS na MAKAMU...
Автор: Global TV Online
Загружено: 2025-09-12
Просмотров: 5080
Описание:
LUHAGA MPINA na FATMA FEREJI KURUDISHA FOMU INEC KESHO ya KUGOMBEA URAIS na MAKAMU...
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imepanga kupokea fomu za uteuzi wa wagombea wa kiti cha Rais na Makamu wa Rais kupitia Chama cha ACT Wazalendo siku ya Jumamosi, Septemba 13, 2025, saa nne asubuhi, katika ofisi za tume jijini Dar es Salaam. Wagombea waliopendekezwa na chama hicho ni Luhaga Mpina na Fatma Fereji.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotumwa na Kaimu Mkurugenzi wa Uchaguzi, Juma Rahisi kwa Katibu Mkuu wa ACT Wazalendo, Ado Shaibu na ambayo Jambo TV imeithibitisha, wagombea wanatakiwa kuzingatia masharti ya Kanuni ya 20(4) ya Kanuni za Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani za mwaka 2025.
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: [email protected]
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo na Burudani Tanzania!
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: http://bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: http://bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: http://bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: http://ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:http://bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:https://apple.co/38HjiCx
Повторяем попытку...
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео
-
Информация по загрузке: