MJADALA WA SHEIKH DURRANI
Автор: Muhammad Motiullah Durrani
Загружено: 2024-08-06
Просмотров: 1901
Описание:
MJADALA WA KURASINI, DAR ES SALAAM, TANZANIA.
Kati ya Waislamu Waahmadiyya na Wasunni.
Nadhani kwakani mwa 2000 Mjadala ulifanyika huko Kurasini, ulioendelea wiki kadhaa kwa amani na utulivu. Siku ya Jumamosi Waahmadiyya walikuwa wakienda msikitini mwao huko Kurasini mjini Dar es Salaam na kesho yake siku ya Jumapili Wasunni walikuwa wakija katika Masjid Salaam, Mnazi Mmoja kwa kujadiliana.
Mjadala ulihudhuriwa na watu wengi kwa shauku sana siku zote pande zote mbili. Pande zote mbili wahadhiri zaidi ya mmoja walipata heshima ya kuchangia. Kwa bahati nzuri nimepata sehemu fulani ya mjadala ule ambamo Sheikh Muzaffar Ahmad Durrani, Ahmadiyya na kwa niaba ya Wasunni Mheshimiwa Sheikh Ali wanasikika kuongea.
Hili ni kumbukumbu nzuri lililopatikana na naliweka mbele ya wasikilizaji kwa faida ya jamii. Mwenyezi Mungu Awabarikini sana na kuongoza kwenye haki.
سواحیلی زبان میں تنزانیہ کے شہر دارالسلام میں ہونے والے ایک مناظرہ کا یہ ایک مختصر کلپ ہے۔ جس میں ایک دن احمدی سنی بھائیوں کے مہمان ہوتے تھے جبکہ اگلے دن میزبانی احمدیوں کے سپرد ہوتی تھی۔ یہ کلپ سنیوں کی مسجد کا ہے۔
Повторяем попытку...
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео
-
Информация по загрузке: