ycliper

Популярное

Музыка Кино и Анимация Автомобили Животные Спорт Путешествия Игры Юмор

Интересные видео

2025 Сериалы Трейлеры Новости Как сделать Видеоуроки Diy своими руками

Топ запросов

смотреть а4 schoolboy runaway турецкий сериал смотреть мультфильмы эдисон
Скачать

UCHANGIAJI UJENZI WA OFISI YA CCM TUNDURU WAPAMBA MOTO,ZAIDI YA MILLION 100 ZAPATIKANA

Автор: JAMII HABARI

Загружено: 2025-12-30

Просмотров: 24

Описание: ZAIDI YA SHILINGI MILIONI MIA MOJA ZAKUSANYWA UJENZI WA OFISI YA CCM WILAYA YA TUNDURU


Zaidi ya Shilingi milioni mia moja na mchango wa vifaa vya ujenzi, ikiwemo saruji zimepatikana katika harambee ya uchangiaji wa ujenzi wa ofisi mpya ya kisasa ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Tunduru, mradi unaotarajiwa kugharimu Shilingi milioni 200.

Harambee hiyo imewaleta pamoja wadau mbalimbali wa maendeleo, wanachama na viongozi wa chama, ikiwa ni jitihada za pamoja za kuboresha miundombinu ya chama na kuimarisha mazingira ya utendaji katika ngazi ya wilaya.

Akizungumza wakati wa harambee hiyo, Mkuu wa Wilaya ya Tunduru, Denis Masanja, amesema Serikali inatambua na kutoa baraka za kiserikali kwa harambee hiyo, akieleza kuwa ni sehemu ya uzalendo na mchango wa wananchi katika kujenga misingi imara ya taasisi za kisiasa na kijamii.

Mkuu huyo wa Wilaya ameongeza kuwa Serikali haina pingamizi lolote mradi harambee hiyo izingatie taratibu zilizopo, huku akisisitiza kuwa ushiriki wa wananchi na wadau wa maendeleo ni nyenzo muhimu katika kufanikisha miradi ya maendeleo wilayani humo.

Katika hatua nyingine, Mkuu wa Wilaya amekemea vikali tabia za baadhi ya watu na viongozi wanaojaribu kufubaza jitihada hizo za kizalendo, akisema vitendo hivyo vinachochewa na maslahi binafsi na siasa chafu zisizolenga maendeleo ya Wilaya ya Tunduru na wananchi wake.

Mbunge wa Jimbo la Tunduru Kusini, Mhandisi Fadhili Chilombe, amesema uamuzi wa kujenga ofisi mpya umetokana na hali ya uchakavu wa ofisi ya zamani ya CCM, iliyojengwa mwaka 1965 na kuzinduliwa na Rais wa Kwanza wa Tanzania, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, ambayo kwa sasa ina zaidi ya miaka 60 na haikidhi mahitaji ya kiutendaji ya chama.

Akisisitiza hoja ya maendeleo, Mkuu wa Wilaya amesema Tunduru ni miongoni mwa wilaya kongwe nchini Tanzania, iliyoanzishwa mwaka 1905, lakini maendeleo yake hayajaendana na historia na kongwe wa wilaya hiyo. Amesema hali hiyo inapaswa kuwa chachu kwa wananchi wa Tunduru kuungana, kuweka tofauti zao pembeni na kuunga mkono jitihada za kizalendo, ikiwemo ujenzi wa ofisi ya kisasa ya CCM, ili kuibadilisha wilaya hiyo na kuisukuma mbele kimaendeleo.

Naye Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Tunduru, Abdallah Mtila, amesema ujenzi wa ofisi mpya utaimarisha mazingira ya kazi, kuongeza ufanisi wa utekelezaji wa majukumu ya chama na kuimarisha mshikamano wa wanachama, huku akitoa wito kwa wadau zaidi kujitokeza kuchangia ili kukamilisha mradi huo kwa wakati.

Не удается загрузить Youtube-плеер. Проверьте блокировку Youtube в вашей сети.
Повторяем попытку...
UCHANGIAJI UJENZI WA OFISI YA CCM TUNDURU WAPAMBA MOTO,ZAIDI YA MILLION 100 ZAPATIKANA

Поделиться в:

Доступные форматы для скачивания:

Скачать видео

  • Информация по загрузке:

Скачать аудио

Похожие видео

ADO: TUTAISHIKISHA ADABU CCM HAPA TUNDURU, SITACHEKA NA NYANI

ADO: TUTAISHIKISHA ADABU CCM HAPA TUNDURU, SITACHEKA NA NYANI

Путин объявил о победе / Конец спецоперации / Судьба оккупированных земель / Итоги 2025

Путин объявил о победе / Конец спецоперации / Судьба оккупированных земель / Итоги 2025

Taarifa ya Uteuzi wa Mgombea wa urais CCM.

Taarifa ya Uteuzi wa Mgombea wa urais CCM.

TUNDURU NEW HOME SWEAT HOME

TUNDURU NEW HOME SWEAT HOME

Безумные Случаи на Ледяной Дороге, Снятые на Камеру

Безумные Случаи на Ледяной Дороге, Снятые на Камеру

Tazama Wilaya ya Tunduru ilivyo pangika Muonekano wake wa Juu wa Eneo la Mjini,Mkoani Ruvuma

Tazama Wilaya ya Tunduru ilivyo pangika Muonekano wake wa Juu wa Eneo la Mjini,Mkoani Ruvuma

Czy Chiny szykują się na upadek Rosji?

Czy Chiny szykują się na upadek Rosji?

"NGURUWE NYINYI" PUTIN AWATUKANA VIONGOZI WA ULAYA BAADA YA KUTISHIA KUTUMIA MALI ZAKE/WAMEMTIA SUMU

🔴 LIVE: KIKAO CHA WAZIRI MKUU NA VIONGOZI NA WATENDAJI WA SEKRETARIETI YA MAADILI

🔴 LIVE: KIKAO CHA WAZIRI MKUU NA VIONGOZI NA WATENDAJI WA SEKRETARIETI YA MAADILI

🔴 СРОЧНО Покушение на Путина: что с ним не так? #новости #одиндень

🔴 СРОЧНО Покушение на Путина: что с ним не так? #новости #одиндень

Rais Kikwete alipoendesha vikao vya CCM vya uteuzi wa Mgombea Urais Dodoma

Rais Kikwete alipoendesha vikao vya CCM vya uteuzi wa Mgombea Urais Dodoma

Aliyekuwa Spika wa bunge akamatwa na kurushwa kwa jela

Aliyekuwa Spika wa bunge akamatwa na kurushwa kwa jela

UFAFANUZI WA MUUNDO WA DIRA YA TAIFA YA MAENDELEO 2050

UFAFANUZI WA MUUNDO WA DIRA YA TAIFA YA MAENDELEO 2050

🔴#LIVE:DKT.MBUNDA AIBUKA NA MAZITO KILICHOTOKEA OKTOBA 29/AMTAJA LISSU NA HATMA YA WASOMI KWENYE....

🔴#LIVE:DKT.MBUNDA AIBUKA NA MAZITO KILICHOTOKEA OKTOBA 29/AMTAJA LISSU NA HATMA YA WASOMI KWENYE....

Лев Сбежал из Зоопарка. Все Разбежались, Кроме Одной Старушки. Вы Не Поверите, Что Было Дальше!

Лев Сбежал из Зоопарка. Все Разбежались, Кроме Одной Старушки. Вы Не Поверите, Что Было Дальше!

HISTORIA ya kabila la WAYAO

HISTORIA ya kabila la WAYAO

Wachimba Madini Wamwaga Hela Kwenye Harambee Ya CCM, Yafika Bilioni 16 Ukumbini

Wachimba Madini Wamwaga Hela Kwenye Harambee Ya CCM, Yafika Bilioni 16 Ukumbini

MKUTANO WA KUFUNGA KAMPENI TUNDURU KASKAZINI JIMBO LA NDUGU SIKUDHANI CHIKAMBO

MKUTANO WA KUFUNGA KAMPENI TUNDURU KASKAZINI JIMBO LA NDUGU SIKUDHANI CHIKAMBO

MAGORI AWASHUTUMU VIONGOZI WA SIMBA KUTAKA KUHARIBU UONGOZI/ WANATAKA UONGOZI KWA LAZIMA

MAGORI AWASHUTUMU VIONGOZI WA SIMBA KUTAKA KUHARIBU UONGOZI/ WANATAKA UONGOZI KWA LAZIMA

Израиль Вкапывает Тонны Песка из Своей Пустыни, Чтобы Построить Путь, Который Убьет Суэцкий Канал

Израиль Вкапывает Тонны Песка из Своей Пустыни, Чтобы Построить Путь, Который Убьет Суэцкий Канал

© 2025 ycliper. Все права защищены.



  • Контакты
  • О нас
  • Политика конфиденциальности



Контакты для правообладателей: [email protected]