Zaidi ya wakulima 300 nchini wanufaika na mkopo wa matrekta
Автор: Azam TV
Загружено: 2023-03-04
Просмотров: 5514
Описание: Wakulima 330 kutoka maeneo mbalimbali nchini, wamepata mkopo wa trekta katika kipindi cha mwaka mmoja wa 2022 kupitia mpango wa matumizi bora ya zana za kilimo na fedha unaoendeshwa na Taasisi ya Fedha ya EFTA iliyo chini ya Benki Kuu ya Tanzania.
Повторяем попытку...
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео
-
Информация по загрузке: